Singida. Wafanyabiashara wa vitunguu katika Soko la Misuna, Singida wameiomba Serikali kuwasaka na kuwakamata wafanyabiashara kutoka Kenya na Uganda wanaonunua zao hilo moja kwa moja kutoka kwa wakulima kwa madai kuwa wanawanyonya wakulima na kuikosesha halmashauri mapato.
FURSA YAKO
Monday, April 13, 2015
Wafanyabiashara wa vitunguu Singida walia na Waganda, Wakenya
Singida. Wafanyabiashara wa vitunguu katika Soko la Misuna, Singida wameiomba Serikali kuwasaka na kuwakamata wafanyabiashara kutoka Kenya na Uganda wanaonunua zao hilo moja kwa moja kutoka kwa wakulima kwa madai kuwa wanawanyonya wakulima na kuikosesha halmashauri mapato.
Thursday, January 8, 2015
KILIMO BORA CHA MAHINDI
KANUNI ZA KILIMO BORA CHA MAHINDI.
KANUNI YA KWANZA
Panda mapema
Tayarisha shamba mapema kwa zana yoyote iliyo ndani ya uwezo wako (jembe, maksai, trekta).
Kwa wilaya ya Mbozi Panda kuanzia tarehe 15 Novemba hadi kati kati ya mwezi Desemba.
Monday, December 22, 2014
Wednesday, October 29, 2014
Ugonjwa
Ugonjwa umezuka huko morogoro unaoenezwa kupitia maziwa yasiochemshwa vizuri na nyama ambazo hazijaiva vizuri
Subscribe to:
Comments (Atom)